27 June 2015

WEMA SEPETU KUBADILI WANAUME CHANZO NI HIKI!

 
Wema Sepetu na Nangari.
IMEBAINIKA! Kufuatia tabia yake ya kubadili wanaume, mrembo asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Isaac Sepetu imefahamika kuwa chanzo cha yote ni kusumbuliwa na ugonjwa ujulikanao kitaalamu kwa jina la Sex Maniac.


Wema Sepetu na Diamond.
Akizungumza na gazeti hili, mtaalam wa masuala ya utabiri na nyota, Maalim Hassan Yahya alisema kwamba suala la Wema kubadili wanaume kila mara si kulogwa bali anasumbuliwa na ugonjwa huo ambao mtu akiwa nao kila wakati anawaza mapenzi na raha yake ni kufanya tendo la ndoa.  


BONYEZA HAPA KUSOMA YOTE

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname