Jana Katika Bunge Huko Dodoma Mheshimiwa Mbunge Mlata Alisemama Haya:
"Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku
moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu
anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto
wake"
Sugu leo amesimama Bungeni na kulitokea Ufafanuzi swala hilo na Mahakama
kumpa haki ya kumlea mtoto kutoka kwa Mama yake Mzazi Faiza Ally..
Sugu Amedai yeye alipeleka vielelezo vyote mahakamani kama inavyotakiwa
ambavyo ni pamoja na zile picha zilizozagaa mitandaoni zikionyesha
mavazi yasio na maadili ambayo alivaa Faiza na Mwisho mahakama kuridhika
kuwa kweli na Kumpa Haki ya Kumlea Mtoto..
Sugu Akaendelea kudai kuwa Swala hilo ni la Kifaragha na kifamilia zaidi
na ameomba Bunge na Watu wengine kutoendelea kulijadili zaidi...
Sugu Amesema japo mahakama imempa haki ya kumchukua mtoto lakini bado
mpaka sasa hajamchukua kupisha majadiliano ya kifamilia zaidi ili kuone
hilo tatizo linatatuliwaje...
Mwisho Sugu alipomaliza Kuongea Alionekana Akitokwa na Machozi Usoni Mwake...
Je una Ushauri Gani kwa Sugu
No comments:
Post a Comment