26 May 2015

SHOCKING NEWS; AAMBUKIZA UKIMWI WANAFUNZI 712 WA VYUO VIKUU HEBU SOMA MAJINA HAPA HUENDA UKAMUONA NA NDUGU YAKO KWENYE HIYO LIST YA MAJINA

Kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Rogers (pichani) raia wa Uganda amekiri kufanya ngono na wanafunzi 712 wa vyuo vikuu mbalimbali nchini Tanzania na Uganda na kuwaambukiza virusi vya UKIMWI kwa kipindi cha miaka mitatu.Rogers amesema alipogundua ana maambukizi ya HIV mwaka 2012 aliamua kulipiza kisasi kwa kuambukiza wasichana wengi kadri iwezekanavyo. Hadi kufikia mwaka huu alikwisha ambukiza wasichana 712 wote wakiwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kutoka Tanzania na Uganda.

Vyuo vya Tanzania ambavyo Rogers anadai kutembea na wanafunzi wake ni CBE Dar, IFM, USTAWI, UDSM na TIA. Pia amedai kuwa kati ya wasichana wote 712 aliotembea nao hakuna yeyote aliyemrudia mara mbili wala kutumia condom.

"Sikuhitaji kumrudia mtu mara mbili maana ni kupoteza muda. Nilijitahidi kadri niwezavyo kuwapata wengi ili kutimiza azma yangu ya kuambukiza mamia ya wanafunzi." alisema Rogers.

Mmoja kati ya wasichana ambao Rogers ametembea nao na kumuambukiza virusi vya UKIMWI ni mtoto wa mwanasiasa maarufu nchini Uganda Mhe.Frank Gashumba.
Katika kudhibitisha madai yake, Rogers amesambaza picha za wasichana mbalimbali wa Tanzania na Uganda akifanya nao ngono tena bila ya kutumia kinga. Katika hali ya kushangaza wasichana wote wanaonekana kukubali kupigwa picha kwani hawana wasiwasi na wanaonekana kufurahia.

Pitia link hii hapa ujionee picha hizo pia kuona kama kuna ndugu yako, mchumba wako au mwenzi wako amehusika kwenye cheni ya Rogers

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname