HATIMAYE MKUBWA FELA AWACHANA LIVE KILIMUSIC AWARDS...CHEKI ALIVYO FUNGUKA

Asante
singida wadau tumethamini mapokezi yenu kwa wanetu ya moto. Kunawatu
marafiki wamebisha kwenye academic ya TUZO kwamba vijana awapigi live
sijui live wanatumia vyombo gani sijui ila MUNGU akisema time NI time
ila kwenye dunia ukipewa mamuzi kuwa fear kwa chochote tusijifanye MUNGU
watu alafu chukulieni tangu nilipoingia kwenye usimamizi wa tasnia hii
1999 nimebuni vingapi nimefanya mangapi wasanii wangu ninao wasimamia
awajai kupata TUZO ila mie najua mnataka niruzi hope mie bado nasonga
ila nawakumbusha sifanyi mziki eti kisa TUZO nafanya ILI kupunguza
makali ya maisha mtaani kwa vijana wa kitanzania wenzangu ila kuna siku
naamini ntaonekana mbora kwa imani yangu INSHAALLAH
No comments:
Post a Comment