26 May 2015

FAIZA ALLY AWALIPUA WANAOMSEMA KUHUSU MATITI YAKE


"Kuna mjinga mmoja anapenda sana kunichambachamba bila sababu nzuri! anasema maziwa yangu kandambili ���� ni sawa tena sio kandambili tu ni ndala za umoja- mama nimenyonyesha mwaka na miezi 7 halafu mm sio mtoto naelekea miaka 32 sasa! sasa unataka yasimame mpaka lini ???
Basi itakua maajabu maana ntakua sikui! Halafu mnapenda kuniambia mm mzee kwani kuna tatizo ? Uzee nao ni step za kukua jamani mbona wajinga nyie ! Ina maana wazee wa nyumbani kwenu huwa heshimu ? Mbona wazee ni watu muhimu sana ktk jamii yetu? Ebena eee tafuta style nyingine hii sio zaidi nakuona mshamba tu au mjinga flan amazing - kama unatafuta Kiki kuwa mbunifu kidogo- basi 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname