Chanzo
chetu cha kuaminika kilidai kuwa, dalili za wawili hao kuelekea kugeuka
kuwa paka na chui zilianza muda mrefu lakini hali ikazidi kuwa mbaya
Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Kanumba, Aprili 7, mwaka huu alipokuwa
akitimiza miaka mitatu kaburini.
Ubuyu ulidai kwamba, siku ya kumbukumbu ya kifo cha Kunumba, Mama Kanumba alimtuhumu Lulu kutotoa ushirikiano na kufikia hatua ya kutoa maneno makali zaidi yaliyomkera mama Lulu.SOMA ZAIDI>>
Ubuyu ulidai kwamba, siku ya kumbukumbu ya kifo cha Kunumba, Mama Kanumba alimtuhumu Lulu kutotoa ushirikiano na kufikia hatua ya kutoa maneno makali zaidi yaliyomkera mama Lulu.SOMA ZAIDI>>
No comments:
Post a Comment