28 April 2015

JOH MAKINI AMEACHIAA VIDEO YAKE MPYA ALIYOIFANYA SOUTH AFRICA INAITWA “NUSUNUSU”

Joh M




Ni staa wa hiphop kutoka Tanzania ambae mwaka 2015 umepewa baraka nyingi kwake ikiwemo video yake ya XO kuanza kuchezwa kwenye TV kubwa ya Nigeria (Sound City) lakini pia time hii karudi kwenye headlines na video yake mpya ya #nusunusu.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname