Akizungumza kupitia kipindi cha “Hatua tatu” cha Times fm, Hussein amedai msimu ujao atasakata gozi kwenye ligi kuu bara na timu ya Kagera sugar.
“Nipo mazoezini sasa hivi kwa ajili ya kujiandaa na kusajiliwa na Kagera Sugar kwa ajili ya kuichezea msimu ujao, so mazoezi wanakuja wananitazama kila siku, kwa hiyo mashabiki watambue msimu ujao wataniona kupitia soka” alisanua Machozi.
Katika line nyingine amesema ilikuwa aichezee muda mrefu Kagera Sugar, lakini hakukuwa na maelewano mazuri kati yake na kocha wa walima miwa hao.
No comments:
Post a Comment