29 April 2015

Basi la Abood limegongana na basi la Takbir


Name:  Mikese JF.jpg
Views: 0
Size:  58.7 KBKumetokea ajali asubuhi hii saa 8:48 am maeneo ya Mikese kijiji cha Fulwe kati ya basi la Aboud na Takrbir baada ya ku-overtake, yote yakitokea Morogoro kuja Dar, na kusababisha folen kubwa ya magari kwa zaidi ya saa moja

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname