Kupitia
Instagram mrembo huyo wa Uganda ambaye makazi yake yako Afrika Kusini
amepost picha kadhaa akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz kwenye Gari
aina ya BMWKatika mitoko yako ya weekend hii usije kushtuka
utakapokutana na couple fulani ya ‘Ameizing’ ya TZ+UG, sababu Zari Tlale
a.k.a The Boss Lady yupo ndani ya jiji la Dar au kama anavyopaita
mrembo huyo D-City.
No comments:
Post a Comment