18 February 2015

NGURUWE ZAA MTU!..KIJANA ALIYE MTIA MIMBA ASAKWA

Katika hali ya kushangaza,Nguruwe amezaa kiumbe kinacofanana na binadamu huko Burundi,tukio hili lilitokea juzi ambapo Nguruwe huyo ambaye amezoeleka kuzaa watoto zaidi ya wastani alizaa kiumbe kimoja tu chenye asili ya kichwa cha binadamu huku sehemu nyingine zikiwa ni mnyama.


Hata Hivyo wengi waa wakazi wa Nchi hilo wamehusisha tukio hilo na imani za  Ushirikina huku wataalamu wakisema kunauwezekano kuwa kunabinadamu aliemuingilia mnyama huyo na kumuachia mbegu za kiume

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname