23 February 2015

MSANII SHILOLE ATOA MANENEO MAKALI MARA BAADA YA KUSEMWA ALIENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA MEZ B HUKU KICHWA KIKIWA WAZ

Nawaangalia tu wote mnaonisnich kama ww unajiua ni snich jitoe tu coz hata mm sina time na ww! Tusilazimishane kuwa kama ww mm ni mm na ww ni ww so naona au coz mm ni shilole nisingeenda msiban pia mngechamba oooh wasanii hamjaliani sasa mm nimekwenda lakin bado oooh nywele
 sijafunika! Plzzz tusiingiliane mbona hamna jema nyinyi loh! Mnikome nafanya kile ambacho naweza kufanya kwa wakati huo so tuheshimiane (tusi) tena nyie ambao mnasema ooooooo hujafunga kitamba kichwani hata misiban hamjaww kwenda

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname