03 February 2015

AMA KWELI MZIKI WA BONGO FLEVA UNALIPA ..CHEKI NYUMBA YA JUX AMBAYO NI GHOROFA ANAYO JENGA



Msani mahiri wa Bongo Flava Jux leo amepost Mjengo kwenye Account yake ya instagram na kuandika amekamilisha ndogo yake kubwa ya utoto, hii inamaanisha sanaa ya muziki inafaidisha sana wasanii wanaojituma.
Karibu Tuchangie Maoni.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname