Mwimbaji kutoka Kenya Victoria Kimani anaendelea kukubali ladha ya muziki wa Nigeria ichukue nafasi kubwa kwenye muziki wake baada ya kudhibitisha kufanya collabo na Ice Prince na kwamba imekamilika.
Victoria Kimani ameweka wazi kuwa amemaliza collabo yake ya kwanza na Ice Prince na kuipa jina { My Baby }.
No comments:
Post a Comment