The Choice

24 November 2014

UREMBO HUU NI DHAMBI!

Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buheti.MSANII wa filamu za Kibongo, Esha Buheti, amesema kuwa anaweza akafanya vitu vingi vya kujiremba lakini anaogopa sana kujichora tatuu kwani ni dhambi.Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Esha alisema kuwa kitu ambacho anahisi inaweza kuwa ni moja ya dhambi mbaya kabisa ni kujichora tatuu mwilini kwani katika dini yoyote au dhehebu lolote halikubali mtu kujichora vitu tofauti na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

“Nitaiga vitu vingine kama mavazi na hata nywele lakini siyo kujichora tatuu katika mwili wangu maana ni vitu hatari sana na vinakatazwa kabisa katika dini yangu ya Kiislamu,” alisema Esha.
Posted by Jason at 19:33
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • DIAMOND PLATINUMZ ANENA MAZITO KUHUSU WEMA, AJIAPIZA KIFO! WEMA NAYE AJIBU MAPIGO!
  • ANGALIA PICHA WAFUASI WA CHADEMA WAKIPIGANA NJE YA MAHAKAMA LEO HII
  • TAZAMA SHABIKI HUYU WA KIKE AKIWA NA BIKINI ALIPOVAMIA UWANJANI WAKATI MECHI IKIENDELEA
  • MANENO MAZITO YA DAVIDO KUHUSU USHINDI WA DIAMOND
  • WATOTO WA RAIS OBAMA NDANI YA SKENDO CHAFU YA MAVAZI YA KIHASARA!
  • JINSI YA KUAMUA KUZAA MTOTO WA KIKE AU WA KIUME.... SOMO HILI LITASAIDIA KUPUNGUZA UGOMVI
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU DODOMA(UDOM) ,UDSM ,MZUMBE ,SAUT ,KETU 2013/2014
  • DAU NONO LIMETOLEWA KWA WATAKAO WABAINISHA WALE WALIO MVUA MWANADADA NCHINI KENYA
  • Teknolojia mpya: shuhudia jenereta inayoendeshwa kwa kutumia mkojo
  • TAZAMA PICHA 10 ZA GEREZA ZURI ZAIDI DUNIANI YANI NI GEREZA LENYE NYOTA 5

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.