23 November 2014

DIDA AONGOZA MASTAA KIBAO KWENYE BIRTHDAY YA MTANGAZAJI WARDA

 Mtangazaji nyota la Planet Fm ya Moro

goro Warda Makongwa[mbele]akiwasili ukumbini huku akisindikizwa na shosti wake Dida ambaye pia ni mtangaazaji nyota wa redio Times Fm ya jijini Dar kulia nI mwandishi  Mwandamizi wa Global Publishers lssa Mnally Mzee wa GX 100 akitaniana na Dida

 Kulini ni mdogo  wa mwandishi wa Global Publishers lmelda Mtema ambaye naye alifunga safari kutoka Dar mpaka Moro kuja kwenye Birthday hiyo

 Dida akiondoka kwa madaha baada ya kumuhusia mdogo wake huku Mc Chuma uleta akimkodolea jichoBOFYA KUONA PICHA ZAIDI>>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname