23 September 2014

TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA SEPETU


MKALI wa kibao cha Msambinungwa, Khalid Ramadhani ‘Tunda Man’, amesema hana mpango wa kutoka kimapenzi na msanii wa filamu za maigizo, mwanadada Wema Sepetu kwa kuwa hawaendani kabisa.
Tunda Mana katika pozi na presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'Pam D' wakati wa mahojiano hayo

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname