18 September 2014

Picha Zinazoashiria Beyonce Huwenda Anaujauzito


Tetesi za Beyonce kuwa mjamzito zimeendelea kusisitizwa hivi karibuni huku watu wake wa karibu wakieleza kuwa ameanza kufanya matendo kama aliyokuwa anafanya wakati ana ujauzitowa mtoto wake wa kwanza anaejulikana kwa jina la   Blue Ivy.

Wikendi iliyopita, Beyonce alichochea tetesi hizo alipotembelea jumba la makumbusho ya kihistoria huko Ufaransa ambapo alikuwa ameshikilia tumbo lake kwa muda, huku likionekana kama limevimba kwa mbali.



No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname