Record label ya TufAmerica imetangaza kuwa inamshitaki Jay Z kwa kusampe ‘Oh’, sio sentensi wala neno, ile “Oh” inayosikika kwenye Run Town. Record label hiyo inadai aliisample bila ruhusa kutoka kwenye wimbo Eddie Bo wa mwaka 1969 ‘Hook and Sling’.
Hata hivyo, Jay Z aliamua kujibu kupitia mwanasheria wake ambaye alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa hakukuwa na mantiki ya kiubora wala kiukubwa kuwa alisampo syllable hiyo.
“Even if one short word – or the recording thereof – could possibly be deemed original enough to warrant copyright protection, this fleeting and generic phrase is neither quantitatively nor qualitatively significant.”
No comments:
Post a Comment