Katika Instagram imefunguliwa akaunti maalum ya watu wanaojiita TeamDiamondTz nao wameanzisha kampeni ya kumtetea Diamond huku wakimtaka Wema kuachana na starehe zisizo na faida kama alivyosema Diamond.

Hii sasa ni vutanikuvute… Wema na Diamond wamewaachia mashabiki waendelee.

No comments:
Post a Comment