DIAMOND UNAHITAJI PONGEZI KWA HIKI ULICHOKIFANYA KWA MSHINDI WA SUPER NYOTA MWANZA
Wakati msako wa kuwatafuta akina dada wanye vipaji
vya kuimba kupitia Super Nyota Divas inayoendeshwa na Fetty kupitia
Clouds FM ukiendelea katika mikoa mingine 17 baada ya kufanyika katika
mkoa wa Mwanza, Diamond aahidi kufanya collable na mshindi wa Super
Nyota
Akiwa kwenye stage baada ya ku-perform na Lina "Kizaizai" Diamond alitoa tamko hilo akisema
No comments:
Post a Comment