28 June 2014

TAZAMA PICHA 4 NYUMBA YA KIFAHARI YA LADYJAY DEE




lady jay dee ni msanii mkongwe sana na mwenye maendeleo makubwa pia ameweza kulinda heshima yake tangu kipindi anaanza mpaka hii leo , mziki umeweza kumpatia mafanikio makubwa ikiwemo kupata tuzo

kibao kimataifa na kimataifa, mbali na hilo pia jay dee anamiliki band inayoitwa machozi bendi, naa pia mgahawa wa kisasa unaoitwa nyumbani lounge , hii leo tunkuletea exclusive picha ya nyumba ya kifahari anakokaa mwanadada huyo , picha zote ziko hapa shuka nazo


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname