09 June 2014

LULU, NANDO WA BBA MAMBO HADHARANI

Mambo hadharani! Uhusiano wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mshiriki wa Shindano la Big Brother Africa 2013, Amir Nando umewekwa kweupe.

Muigizaji katika tasnia ya Muvi Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu'.
Kabla ya wawili hao kufunguka, kulikuwa na madai mazito kuwa Lulu na Nando ‘wanachepuka’ mara tu baada ya Nando kutolewa BBA kwa ukosefu wa nidhamu.
Kuna habari kuwa Nando ndiye aliyevujisha ishu hiyo, jambo ambalo Lulu hakupendezwa nalo hivyo kumpiga chini.ENDELEA HAPA>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname