15 June 2014

HIVI NDIVYO BALOTELI ALIVYO WAMALIZA UINGEREZA..KWA BAO SAFIII

Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku .
Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuisawazishia England katika dakika ua 37.
Wachezaji wa Italia wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Claudio Marchisio (jezi namba 8 kulia).
Hekaheka wakati wa mtanange huo.
KIKOSI cha England kimeanzavibaya Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil baada ya kupokea kipigo cha bao 2-1 kutoka kwa Italia usiku huu. Katika mechi hiyo ya kundi D wafungaji wa Italia: Marchisio 35, Balotelli 50 na England Sturridge 37.

1 comment:

  1. It indicates speculating what precisely its solutions are likely visiting often be related to. rolex replica For example clients accessorise set affordable handbags by using satisfies and smart-wear so that they can involve a strong natural environment regarding professionalism and reliability. hermes replica handbags One common plan is a point for anyone who is dressed up in fine and specialized wardrobe therefore you're going to come to feel significantly more specialized which inturn elevates yields. fake cartier It is really important this both males and females will feel relaxed with just what exactly they should currently have for when the following therefore showcases them selves lifestyle for everyday living. louis vuitton replica sale These folks is actually a significant patch of society this both males and females will enjoy a design progression, which inturn reacts in lots of ways to set-up a human population along. fake hublot You can get several varieties costumes which inturn appeal to and motivate at a distance picked out prospects.

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname