09 May 2014

NYATI AKIPAMBANA NA SIMBA KUJIOKOA

Kundi la Simba likielekea katika mawindo yake baada ya kuona kundi la Nyati. 
Simba wakianza kujipanga kwaajili ya mashambulizi katika kundi la Nyati 6 walio waona.

Nyati huyu ndio aliingia katika mtego na kuanza kufukuzwa na Simba. Kwa Mbali gari la Watalii likija eneo hilo na baada ya muda magari 12 yaliyo na watalii mbalimbali yalifika katika eneo hilo na kushuhudia mtanange mkali kati ya Simba na Nyati. Mpigapicha wa Gazeti la Uengereza la Daily Mail, Scott Macleod alinasa taswira hizi.ANGALIA PICHA ZAIDI >>>>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname