05 May 2014

KUITWA KAZINI -WIZARA YA MAMBO YA NDANI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Simu: +255-22-2112035/40 S.L.P. 9223
Nukushi: +255-2122617/2120486
Dar es Salaam
Barua pepe: ps@moha.go.tz

KUITWA KWENYE AJIRA
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao waliofanya
usaili kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji, kuanzia tarehe
25/03/2014 hadi tarehe 29/03/2014, kuwa wamechaguliwa kuajiriwa.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname