03 May 2014

HUYU NDIYE MFANYAKAZI WA IKULU ALIYEFIA KWENYE SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQKsXIYXiyI4RRmyz4yAUfWSYlsPnmDtHwqEQqDqaFndHnj5lAt-qpLcJ9Jn1xbrGFJYa9Gz49jQ5lMhTGqzLgIko0yiZVQm088OYZB0peEz1o9cugicGQl63CmaLJyCZSwZHeo6kFQLjh/s1600/IMG_6188.jpg 
Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVYO-Mh-FXlYYNAmU8aORnIM2f_oLZwjM4rrPL_llMKr29nxEoy-KvKAVMukB-NJ9RWYxqyxU1srmZ6obbMPlYJxMxRt4ffpTzVG7TfVXcsOJQr1sxu90lPkSnJdtiCUeFvJURIZPkZqQ_/s1600/IMG_6174.jpgMwili wa marehemu ukiombewa kabla ya kupelekwa shambani kwake Kisarawe kwa mazishi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS0bLl5SrU0zzOnB_788xGwCnS8hQM3nglUXHbMJWEb9XsiM5gakk9xm-a-ghOrXW-3GYmbgEH3qrWihJChBiwPGEZqbGDjZy9UeyFnc2zbM4lMZNk-oElv9Lhp2suM4NlVvHmB6SxRsbY/s1600/IMG_6140.jpgViongozi wa ofisi ya Rais Ikulu wakijadiliana na wanafamilia ya marehemu kuhusu mwenendo wa mazishi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname