09 May 2014

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI

Ajali imetokea mida ya saa nne karibu na wami kutokea dar es salaam.. gari ni kampuni ya dar express iliyokua ikielekea nairobi.. Abiria wengi wamenusurika kutoka ila kuna majeruhi wachache ambao haijalikana bado kama kuna aliyekufa.


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname