Kuanzia Kulia ni Shilole Baby a.k.a Beyonce akiwa na Madansa wake wawili wakike pamoja na Msanii Raymond wa Tiptop Conection waliweza kukonga nyoyo za Mashabiki wa Mziki huo wa Kizazi kipya Hapo jana Ndani ya Makonde Royal Night Club. Show ilisimamiwa na Safari Radio Fm Mtwara.PICHA ZINAENDELEA
No comments:
Post a Comment