22 March 2014

MSANII NANDI ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

Nandi
Msanii Nandi anayeitaji msaada wa matibabu kutoka Swahiliwood.
MWIGIZAJI chipukizi wa filamu Swahiliwood Zaina Ramadhan ‘Nandi’ yupo katika wakati mgumu na anahitaji msaada wa kupata matibabu nje ya nchi baada ya kupata matatizo ya mgongo ambapo inasemekana kuwa kuna pingiri za mgongo zimetengana, awali alianza matibabu yake katika Hosipitali ya Mwananyamala.Baadae alipata rufaa kwenda katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kujaribu kupatiwa matibabu lakini imeshindikana na anahitaji msaada wa kwenda kutibiwa nje ya nje na inahitajika gharama kubwa akiongea na FC mama mzazi wa Nandi amedai kuwa gharama za matibabu hapa ni 13,000,000
.BOFYA HAPA INAENDELEA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname