1. Amelia Earhart - 1937
Rubani wa Kimarekani, Amelia Earhart alikuwa mwanamke wa kwanza kuvuka Bahari ya Atlantic kuchunguza dunia, alipotea na ndege yake miongo saba iliyopita. Inahisiwa kuwa ndege yake iliishiwa mafuta na kuanguka.
2. Airbus A330 - 2009
Mwaka 2009 ndege ya Shirika la Ndege la Ufaransa, Airbus A330 iliyokuwa na abiria 228 ikitoka Rio de Janeiro, Brazil kwenda Paris, ilipotea kwa siku tano. Ilipatikana ikiwa imeanguka na kuungua. Hadi sasa maiti za abiria 74 bado hazijatambulika.
ZINAENDELEA
No comments:
Post a Comment