15 February 2014

UNYAMA KAMA HUU HAUFAI KABISA KATIKA JAMII, TUUPINGE VIKALI


Bwana Elia Daudi Mwalonde mkazi wa Uyole ambaye ni miongoni mwa waliokuwa wakijiuguza majeraha katika Hospitaliwodi namba 1 baada ya kupigwa nondo .


Kehinde Adesamuye, 39, mkazi wa Lagos, Nigeria anadaiwa kumchoma kwa moto wa petroli hivi karibuni mkewe Janet Udegba, 35, katika Mtaa wa Ikotun jijini Lagos baada ya kuwa na hasira kutokana na kuhisi kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamume mwingine. 


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname