Leo
January 15 Rich Mavoko kupitia ukurasa wake wa instagram ametoa taarifa
za kusikitisha na marafiki zake wengi wameanza kumpa pole kupitia
mtandao huo.
Rich Mavoko ameandika,“R.I.P my Father… amefariki sasa ivi jamaniiii….” pamoja na hii caption amepost picha ya rangi nyeusi.
Pole sana Rich Mavoko na taarifa nyingine zikitoka utazipata hapahapa kupitia millardayo.com
No comments:
Post a Comment