Chanzo
kimoja ambacho kiko karibu na kijana huyo, kimeiambia TMZ kuwa kijana
huyo hataki kufuata njia za kisheria na kukimbizana mahakamani na kwamba
mwanasheria wake amewaita watu wa Kanye na kuwaeleza nia ya kijana huyo
kupewa mkwanja kiasi cha dola mia kadhaa ili yaishe.
Inawezekana
kijana huyo anaogopa mkono wa sheria kwa kuwa Kim Kardashian alisema
kuwa alimtolea maneno ya kibaguzi (n***er lover) yaliyoambatana na
matusi.
TMZ
imeripoti kuwa kijana huyo amekuwa haoneshi ushirikiano wa kutosha na
polisi, na kwamba inasemekana licha ya kuwepo taarifa za kupigwa ngumi
kadhaa hana majeraha.
Inasemekana pande hizo mbili sasa ziko katika makubaliano ya kuyamaliza kinyumbani na kuachana na njia ya kushitakiana.
No comments:
Post a Comment