Dodoso
zilizofanywa na RAI kutoka kwa watu wa kada na rika mbalimbali
kuhusu muundo mpya wa Baraza la Mawaziri zimeonyesha kuwa iwapo rais
Kikwete atakuwa amefikishiwa taarifa sahihi na wasaidizi wake kuhusu
matakwa ya wananchi kuhusu aina ya viongozi wanaowataka, atalazimika
kuwaingiza ndani ya baraza wanasiasa ambao watamudu kukabiliana na upepo
wa mabadiliko unaovuma hapa nchini.
Hoja hiyo inajengwa katika msingi kwamba mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa yamelazimishwa kutokea.
No comments:
Post a Comment