Mastaa hao walionesha utundu huo juzikati walipokuwa katika hafla ya mahari ya msanii mwenzao, Vanita Omary ambapo mwanamuziki Siza na kundi lake walipoimba nyimbo hizo, alianza kuinuka Monalisa kisha mama yake na kuanza kucheza kwa ustadi.
“Sikujua kama akina Mona ni wazaramo na wanajua kuicheza ngoma yao, ukweli nimewakubali wamekumbuka kabisa asili yao leo ni balaa,” alisema mama Hawa, mmoja wa waalikwa.
No comments:
Post a Comment