26 December 2013

MWANADADA YUSTER KUFANYA BALAA BONGO MOVIE...!



MWANADADA Yuster Nyakachara inasemekana ni zaidi ya msanii kwani ni msanii mwenye maendeleo makubwa kupitia sanaa mbalimbali na sasa ameingia katika tasnia ya filamu TZ ( Bongo movie ) na kuanza kwa kasi ya ajabu yani anamiliki kampuni yeye kama yeye, Kampuni inatambulika kwa jina la  EAGLE ENTERMENT. Siku chache zijazo ataanza kuwapa ladha wadau wa filamu Tanzania na nje ya nchi alisema Yuster.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname