Muimbaji wa Nigeria, May7ven anataka watu wasio na makazi
wapate mahala pa kulala kwenye msimu huu wa sikukuu. Msanii huyo mwenye
makazi yake nchini Uingereza, ameungana na Wanaijeria wengine kwenye
mitaa ya London nchini Uingereza wakiwa na lengo la kusanya £100,000 na
kukuza uelewa kuhusu watu wanaoishi mtaani.
Mtoto huyo wa mcheza soka wa zamani Segun Odegbami, alikuwa na furaha kuhusika kwenye mradi huo wa kulala nje kufanikisha kuchangisha fedha hizo.
Msanii huyo ambaye jina lake halisi ni Yemisi May Odegbami pia ni mwandishi wa nyimbo, dance, producer, muigizaji, mwanamitindo na mjasiriamali.
Mtoto huyo wa mcheza soka wa zamani Segun Odegbami, alikuwa na furaha kuhusika kwenye mradi huo wa kulala nje kufanikisha kuchangisha fedha hizo.
Msanii huyo ambaye jina lake halisi ni Yemisi May Odegbami pia ni mwandishi wa nyimbo, dance, producer, muigizaji, mwanamitindo na mjasiriamali.
No comments:
Post a Comment