Simu
hizo zina uwezo wa kujirudisha katika hali ya kawaida (self-healing)
mara baada ya kupata mikwaruzo ya kitu chenye ncha kama funguo, kisu nk,
na baada ya muda
alama zote za mikwaruzo zinapotea na kurudi ilivyokuwa.
alama zote za mikwaruzo zinapotea na kurudi ilivyokuwa.
Pia
display ya simu hizo za LG G Flex imetengenezwa kwa plastic badala ya
kioo kama zilivyo simu zingine, na pia muundo wake wa kujikunja (curve)
unairuhusu simu kunyooka pindi inapokandamizwa kwa nguvu na kurudi
katika hali yake bila kuvunjika.
Kwa
simu hizi za G Flex, mtumiaji hatapata yale maumivu ambayo huwakuta
watumiaji wengi ya kuvunjika kwa kioo, au simu kupata mikwaruzo mingi
inayosababisha kuifanya ichakae haraka.
GG
Flex ambazo kwa sasa zinapatikana Korea peke yake zitazinduliwa kwa
soko la kimataifa Jumanne ijayo (December 3) huko Hong Kong. Bei ya simu
hizo kwa Korea ni 999,990KRW sawa na Tsh milioni moja na nusu.
SOURCE: YAHOO
No comments:
Post a Comment