14 December 2013

ANGALIA PICHA MUME AMUUA MTOTO WA KAMBO KISA UGOMVI WA KIMAPENZI,..

Mwenyekiti wa mtaa wa pangani kata ya Makorongoni mjini Iringa Salum Kibaya akiutazama mwili wa mtoto Raymond Ben Mangungu (2) aliyeuwawa kwa kukabwa shingo na baba wa kambo wakati wa ugomvi wa kimapenzi kati ya mwanaume huyo na mama wa mtoto huyo usiku wa leo.
Askari polisi akitazama mwili wa mtoto huyo.ANGALIA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname