15 November 2013

HUYU NDO MSANII WA MUZIKI KUTOKA BONGO ALIYEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA, SOMA HAPA


Canal Top wa kwanza kushoto
Madawa ya kulevya ni noma sana, yamesababisha vijana wengi wenye tamaa kuishia kunyongwa au wengine wapo sero mpaka leo. Habari zilizotufikia Bongoclan ni kua msanii kutoka kundi la Akudo Impact maarufu kama CANAL TOP kakamatwa china akiwa na sembe AKA UNGA aka MADAWA YA KULEVYA. Sasa bado hatujajua kesi yake inaendaje but mashushu wetu chna watalifanyia hilo kazi na kuja na majibu sahihi ambayo tutawaletea wasomaji wetu
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname