MWIGIZAJI wa Filamu Bongo Dianarose kimaro ‘Diana’ ametamba kwa kusema kuwa amekamilika katika tasnia ya filamu na hakuna mwigizaji wa kike ambaye anamfikia kwa kiwango alicho nacho katika uigizaji kwani kila akiwangalia wanaigiza kawaida na hajaona mpinzani wake wa kweli katika fani hiyo Swahiliwood kwa sasa.
.
Diana ambaye mara nyingi ushirikiana na Lulu kataika filamu kwenye uigizaji sasa anasema ameamua kusimama yeye kama yeye na anawahakikishia kuwa wapenzi wa filamu kuwa wasubiri filamu inayokuja ya ‘Kigodoro Kanitangaze’ambayo kaigiza kama mhusika akitamba kuwa yeye ni kiboko yao rika lake lote anawafunika.
No comments:
Post a Comment