18 November 2013

ANGALIA PICHA ZA KILICHOJIRI KWENYE AROBAINI YA MAREHEMU ALBERT MANGWEA.

DSC01553Kila tarehe 16nov hua ni siku ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa ndugu yetu/mpendwa wetu Albert Mangwea,ambae alizaliwa huko songea mwaka 1982.Baadae wazazi kuhamia morogoro. Shughuli ya kukumbuka siku yake ya kuzaliwa imeambatana na siku ya kuhitimisha msiba yaani 40,katika kuelekea siku hii nyumbani kwao kihonda mkoani morogoro waliandaa misa ya kumuombea ambayo ilianza na mkesha wa tarehe 15 kuamkia 16 hizi ni picha za usiku wa mkesha nyumbani kwao albert.
DSC01453Hawa ni wana kwaya wakiendelea kuimba nyimbo mbali mbali za maombolezo
DSC01447Hawa ni miongon wa waliohudhuria akiwemo Bdozen toka xxl ya cloudsfm,Young Dee na Dj venture
Asubuhi kulipokucha tulielekea kanisani ambalo lipo barabara ya kuelekea Dodoma kanisa la ROMAN CATHOLIC mtakatifu Monica parokia ya Kihonda,Misa ilianza sa 1 asubuhi na iliongozwa na paroko wa kanisa hiloPadri OCTAVIAN MSIMBE.INAENDELEA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname