ZITTO --Wabunge wa CCM wanataka kujiongezea muda wa Ubunge hadi 2017
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe amesema kuwa kuna mkakati
unaofanywa na wabunge wa CCM kujiongezea muda wa kuendelea kukaa
madarakani kwa kujitahidi kuzuia na kuhujumu Mchakato wa Katiba
No comments:
Post a Comment