Stori: Mwandishi Wetu
ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amejikuta akiambulia maneno makali kutoka
kwa mashabiki baada ya kuposti picha ya Jokate na kumsifia katika
mtandao wa Instagram.
Lulu aliiposti picha hiyo kwa nia njema kabisa ambapo kuonesha kuwa
anamkubali Kidoti, alimwagia sifa kuwa ana uzuri wa ziada ndipo wafuasi
wa mtandao huo walipotema
mbovumbovu.
“Anampiga vijembe Wema huyu, mtoto mswazi sana huyu…mnafiki huyu mimi
nishamjua hanipi shida siku hizi,” walichangia wadau tofauti mtandaoni.
No comments:
Post a Comment