04 October 2013

HIVI NDIVYO SHEHE ALIVYO UWAWA KWA KUSHAMBULIWA NA RISASI HUKO KENYA

Mrithi wa Al marhum shekh Aboud Rogo aitwae Ibrahim Rogo ameuawa kinyama na watu wasio fahamika nchini Kenya mtindo huu wa uuwaji unafanana na vile Aboud Rogo jinsi alivyouuawa na watu wasiofahamika.Shekh Ibrahim Rogo ameuawa usiku wa kuamkia leo leo akiwa anatokea mskitini,akiwa pamoja na wenzake kwenye gari ndogo,jumla ya watu wanne inasemekana kuuawa kwa kupigwa risasi na watu hao wasiofahamka.Mauaji hayo ya kinyama yametokea wiki mbili tu baada ya tukio la uvamizi wa Wastegate mall mjini Nairobi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname