JESHI
la Polisi Kituo cha Pangani, Ilala Dar es Salaam lilimnasa kijana mmoja
aliyejulikana kwa jina moja la Abdallah kwa tuhuma za kuwawekea
wanawake madawa ya kulevya katika vinywaji kisha kuwaibia, Amani
linakujuza.
Ishu hiyo
ilijiri Jumatatu iliyopita katika baa moja iliyopo Amana, Ilala jijini
Dar es Salaam ambapo baada ya kunaswa, mlalamikiwa huyo alipelekwa
katika kituo hicho cha polisi kwa hatua zaidi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mtuhumiwa alitiwa mbaroni baada ya kuwekewa mtego uliomnasa.
No comments:
Post a Comment