Rapper Nay wa Mitego leo anasherehekea siku ya kuzaliwa ya mchumba wake
aliyekuwa mjamzito kwa huzuni kubwa baada ya mchumba wake huyo
kukipoteza kichanga chao kufuatia kuanguka jana usiku.
“Jana
usiku mke wangu alianguka, alifikia tumbo kwahiyo akawa anasikia
kizunguzungu nilipompeleka hospitali daktari akasema mtoto amekufa,” Nay
Awali, Nay wa Mitego ameweka picha ya mchumba wake kwenye Instagram
akiwa hospitali na kuandika: Happy bday my lv, Mungu akupe maisha
marefu na yenye mafanikio tele. Japo imekukuta uko vibaya tumempoteza
kijacho bt ni mipango ya mungu, nakupenda sana mke..!! #966# happy bday
2u ma.”
No comments:
Post a Comment