15 June 2013

TID AAPA KUMKUNG'UTA MANGUMI OMMY DIMPOZ


Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu Albert wallahi mungu 
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname