Sehemu hii ndipo mwili wa marehemu Albert Mangweha ndio utawekwa hapa tayari ya kuanza zoezi zima la kumuaga.
Kwa
wale mashabiki wa EAST Cost nadhani watakuwa wanamfahamu msanii huyu
anajulikana kwa jina la PUFF G nae amekuja japo apate picha ya ukumbusho
kidogo maana baadae hapa patakuwa na msongamano wa watu wengi sana.
From:DjChoka
No comments:
Post a Comment